Credits

PERFORMING ARTISTS
Jay Melody
Jay Melody
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Sharif Saidi Juma
Sharif Saidi Juma
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Adam Amiry Maingwa
Adam Amiry Maingwa
Producer

Lyrics

('Jini x66)
Aah, aah, aah
Jay once again
Vimacho na zake lips
Kumpata sio rahisi
Yani kweli Mungu umenibariki
Mimi umenibariki
Na kabla ya hii gift
Ukatufanya marafiki
Mpaka sasa penzi liko lit
Moto kiukweli!
Yaani kama nimeokota dodo
Chini ya mpera nimeokota dodo
Na siambiliki hata kidogo
Mwenzenu mimi nimeokota dodo
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu
Wa peke yangu
Jamani wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu
Wa peke yangu
Mapenzi gani haya anayonipa
Mpaka damu nas'kia inavyopita
Kwenye moyo mbio, kwenye mishipa
Au tuseme ndo kashanishika
Yaani kama nimeokota dodo
Chini ya mpera nimeokota dodo
Na siambiliki hata kidogo
Mwenzenu mimi nimeokota dodo
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu
Wa peke yangu
Jamani wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu
Wa peke yangu
Darling, yupo moyoni
N'avyo muota usingizini
Jamani darling, yuko moyoni
N'avyo muota usingizini
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu (oh, na-na-na-na)
Wa peke yangu
Jamani wa peke yangu, huyu
Wa peke yangu, huyu (mimi hapa)
Wa peke yangu
Wa peke yangu
I love you baby (music)
Kamix Lizer
Written by: Adam Maingwa, Sharif Saidi Juma
instagramSharePathic_arrow_out