Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Zuchu
Zuchu
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Zuhura Othman Soud
Zuhura Othman Soud
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mr. LG
Mr. LG
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Maana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
[Verse 2]
Na sianguuki
Mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
[PreChorus]
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwake kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana
[Chorus]
Naringa-naringa, naringa-naringa
Naringa nalindwa na Mungu
Msinione navimba, navimba navimba-navimba
Navimba nalindwa na Mungu
[Bridge]
Raise your glass
Cheers to the Lord
[Verse 3]
Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeeh
[Verse 4]
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng'o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
[Verse 5]
Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
[PreChorus]
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwake kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana
[Chorus]
Naringa-naringa, naringa-naringa
Naringa nalindwa na Mungu
Msinione navimba, navimba navimba-navimba
Navimba nalindwa na Mungu
Written by: Zuhura Othman Soud
instagramSharePathic_arrow_out