Credits
PERFORMING ARTISTS
Jay Melody
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Sharif Saidi Juma
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Aloneym
Producer
Lyrics
Mapenzi tu, nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali, namuwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu, ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali, mi nailamba tu
Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa, (Right) sawa, (Ah) sawa
Huo utamu hasa nikiingia, akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya ku change idea, hapo-hapo nime mng'ang'ania
Hapo-hapo nimeshikilia na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa, (Right) sawa, (Ah) sawa
Written by: Ally Mohamed Juma, Peter Mwangi Mwitii, Sharif Saidi Juma