Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Jay Melody
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Sharif Saidi Juma
Composer
Lyrics
[Verse 1]
Lina bana lina tight
Sijawahi pata penzi la hivi
Hii kitu kutoka sio rahisi
Hata kuzama pia sio rahisi
[Verse 2]
Nahisi nimekolea sana
Kweli hivi sio kawaida
Maana wewe hujaachia mwanya
Umeniteka umeniiba
[PreChorus]
Ooh! Ndoto zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Nilalelale kifuani
Kichwani anitawale
[PreChorus]
Ndoto zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Atae nipa burudani
Hivi
[Chorus]
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
[Verse 3]
Na hapa nilipo nipo kileleni
Kama Kilimanjaro
Napenda unavyonipa vitu laini
Nachizika na ulio nayo
[Verse 4]
Baby kuwa nawe naskia raha
Kukupata naskia raha
Siunajua unavyo nikuna
Usiniache nitakesha bar
[PreChorus]
Ndoto zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Nilalelale kifuani
Kichwani anitawale
[PreChorus]
Ndoto zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Atae nipa burudani
Hivi
[Chorus]
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Ooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Written by: Sharif Saidi Juma