Lyrics
Ooh naaah nanaaah
Eti Jay once again
Akipita kwa nje mi nipo kwa dirisha
Namchungulia oh mpaka anafika
Ila sasa hizi habari nilizopata ndo zinanisikitisha
Et naambiwa ame hama kabisa
Ai wee
Nazi sio nazi, tui sio tui
Nitamwona wapi tena hata sijui
Uuuuh, nazi sio nazi
Oooh, tui sio tui
Nitampata wapi tena hata sijui
Mbele ya macho yangu ametoweka
Simuoni tena jirani
Ooh, simuoni tena jirani
Shi, simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Nimemmiss kweli mpaka nataka kulia
Nikikumbuka asubuhi salam zake akini salimia
Hapa nilipo sielewi
Bora ningeshamwambia
Aondoke akijua ka nampenda tena kwa hisia
Jirani oh uko wapi aah
Aah jirani oh uko wapi aah eeh
Nazi sio nazi, tui sio tui
Nitamwona wapi tena hata sijui
Uuuuh, nazi sio nazi
Oooh, tui sio tui
Nitampata wapi tena hata sijui
Mbele ya macho yangu ametoweka
Simuoni tena jirani
Ooh, simuoni tena jirani
Shi, simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Written by: Sharif Saidi Juma