Lyrics

[Verse 1]
We ndo kitumbua, we ndo sambusa
Basi njoo unichumu baby, ndio tuseme umesusa?
We ndio mwisho wa reli, kwako nimeweka nukta
Walokuambia nala Zuchu, sio kweli wanazusha
[PreChorus]
Wanaokaa vikao sisi kutujaji
Wape pole yao wanatwanga maji
Na waongeze bidii kwenye urogaji
Tuko ten GB penzi full charge
[Chorus]
Fanya wainamaa, wainuka
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa, wainuka
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta
Mi kuachana na wewe
[Chorus]
Aku chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki mi
Kuachana na wewe
Chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki mi
[Verse 2]
Mchana nikupe tango, usiku ndizi swadakta
Tuanze fanya mambo, kabla umeme hawajakata
Mapenzi mwenzie kiwango, na umejaaliwa talanta
Na unanijua kwa jambo, hatoki mtu kwa mkapa, ee aah!
[Verse 3]
Amuli chichichi amuli chachachacha
Kamoyo tititi nimeozaje sasa
Amuli chichichi amuli chachachacha
Kamoyo tititi nakuachaje sasa
[PreChorus]
Wanaokaa vikao sisi kutujaji
Wape pole yao wanatwanga maji
Na waongeze bidii kwenye urogaji
Tuko ten GB penzi full charge
[Chorus]
Basi fanya, fanya wainama wainuka
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa, wainuka
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta
Mi kuachana na wewe
[Chorus]
Aku chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki mi
Kuachana na wewe
Chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki
Chitaki, chitaki mi
Written by: Diamond Platnumz
instagramSharePathic_arrow_out