Music Video

Jay Melody _ Usiniache (Official Music Lyrics) ft Phina
Watch Jay Melody _ Usiniache (Official Music Lyrics) ft Phina on YouTube

Featured In

Lyrics

Jini x double six Jay once again Na melody queen Kukaa mbali ndo naogopa Naogopa nitanyang'anywa Kwa penzi lako hata kusota Yani nitasota nitang'ang'ana Kwenye hii dunia Mimi ningekuona wa kwanza Haya ninayokwambia natamani nishike kipaza Kama mzigo umenikota Kwa maana nilishatupwaaga Kuwa nawe nahisi ka naota Kwa jinsi unavyonipa Unavyonikoroga Ukinipa hunipi mara moja(iish) Mara kwenye sofa Mara baby kalia kigoda Ooh oouoh usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Aah aaaah oooh,aah aaaah oooh Kama ni maua basi basi ua rose Penzi linameremeta Nikikufikiria inakuja njozi Usiku mzima nakuota Pendo lako noma lishanchoma Cha ajabu yani hata siumii Masikio ushatoboa ngoma Maneno Maneno wala siskii Oooh wuah kama nikuzama nshazama Waje waniokoe na boti Kwenye kina kirefu nshakwama Utulivu hata siogopi Unavyonikoroga Ukinipa hunipi mara moja(iish) Mara kwenye sofa Mara baby kalia kigoda Ooh ooh usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Usiniache mimi Hata nifanye nini usiniache mimi Usiniache mimi oooh ooh Hata nifanye nini Usiniache mimi Usiniache mimi oooh ooh Oooh once again Oooh once again Oooh
Writer(s): Sharif Juma, Sarah Kitinga, Adam Maingwa Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out