Credits

PERFORMING ARTISTS
Mocco Genius
Mocco Genius
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Marioo
Marioo
Songwriter
Idd Mohamed Ngomba
Idd Mohamed Ngomba
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Abbah Process
Abbah Process
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Mi na wewe hatutafuti ukamilifu
Mi na we hatupimani madhaifu oouh yee
Mahaba ya kila aina nakupa, siwezi kunyima
Shahada ya kupendana, nakupa
[PreChorus]
Penzi nitalilinda
Kwa marungu
Kwa mapanga
Kwa huu wivu
Nitawanga
[Chorus]
Ooh baby, am fitingi (Am fitingi, fitingi)
Baby baby, we're machingi (Machingi, machingi)
Baby, we're fitingi (Fitingi, fitingi)
Mimi nawe tume machi (Machingi, machingi)
Tume machi mchi, aah Moujaa
[Verse 2]
Tukizeeka ukang'oka meno, nitakutafunia mimi
Nitakupenda mpaka mwisho wa hii dunia baby
Huba kama unalijaza katika gunia baby
Vitu naturally napata mia kwa mia mimi oow woo
[Verse 3]
Sihofii kuonekana fala
Sihofii kuonekana zoba zoba
Sihofii kuonekana mjinga
[PreChorus]
Penzi nitalilinda
Kwa marungu
Kwa mapanga
Kwa huu wivu
Nitawanga
[Chorus]
Ooh baby, am fitingi (Am fitingi, fitingi)
Baby baby, we're machingi (Machingi, machingi)
You and I we're fitingi (Fitingi, fitingi)
Tumemachi (Machingi, machingi)
We're fitingi
Written by: Idd Mohamed Ngomba, Marioo
instagramSharePathic_arrow_out