Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Marioo
Marioo
Vocals
Mocco Genius
Mocco Genius
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mocco Genius
Mocco Genius
Lyrics
Passo
Passo
Lyrics
PRODUCTION & ENGINEERING
Mocco Genius
Mocco Genius
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Aah mon bebeeh
Aah mon bebeeh
Nimetosheka nimeridhika na weeh
Aah mon bebeeh
[Verse 2]
I'm already eh
I'm already
Umeniteka umenishika I swear
Aah mon bebe
[Verse 3]
Ni kama nimeona mbalamwezi mchana
Nikikutazamaa
Maana mzuri sana
Tena twaendanaa
[Chorus]
Washa nifata mi nikawakataa
Washakufata we ukawakataa
Mmh, milele mi na weeh, mi naah
Milele mi na weeh, mi na weeh
Forever mi na we, mi naah
Milele mi na weeh, mi na weeh
[Verse 4]
Leo nakemea mapepo
Ya kutamanitamani vihela vyao
Nakemea pepo
Ya kutamanitamani vishepu vyao
[Verse 5]
Mara ngapi baby
Mi nalia unanibembeleza we mwenyewe
Unalia nakubembeleza mi mwenyewe
Wao hawajui watuache
[Verse 6]
Tafadhali my wangu nipunguzie utamu
Taratibu my wangu ooh nipunguzie utamu
[Chorus]
Washa nifata mi nikawakataa
Washakufata we ukawakataa
Milele mi na weeh, mi naah
Milele mi na weeh, mi na weeh
Mpaka kufa mi na we, mi naah
Ooh na weeh, mi na weeh
Written by: A, Mocco Genius, Passo
instagramSharePathic_arrow_out