Lyrics
[Verse 1]
Jasho lilinitoka mwenzenu
Aata kwenye IC
Yule ulosema ni shemeji yenu
Amenipandisha BP
[Verse 2]
Ngumi mkononi kufa na maungoni
Yemi sijazoea
Yanamtoka mdomoni nakosa silioni
Mwenzangu ananifokea oh no-no
[PreChorus]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
[Chorus]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
[Verse 3]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
[Verse 4]
Mambo ya kulilia mapenzi
Ni miaka tisini kushuka chini
Watoto elfu mbili hawawezi haya mambo
Lilowekea akilini
[Verse 5]
Ngumi mkononi kufa na maungoni
Yemi sijazoea
Yanamtoka mdomoni nakosa silioni
Mwenzangu ananifokea oh no-no
[PreChorus]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
[Chorus]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
[PreChorus]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
[Chorus]
Kwake mi kurudi tenaa
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Written by: Mbwana Yusuph Kilungi