Lyrics

[Verse 1]
Ona nakupenda sana
Usije nipanga kama nyanya
Ukaniona tu mi sina mana
Ukanichezesha mchana mchana
[Verse 2]
Ila we nipeleke utakavyo maah
Mi siwezi kubisha kwa lolote
Kwa wengine acha nijidai
Kwako mjinga mie kolo
[Verse 3]
Unanichanganya ukipita na kimini
Uani umenitobolea kipini
Kati uwo ukiwa mwendo kama jini
Vimaswali baby unataka nini
[PreChorus]
Hivi hivi kwa nini
Ukianzaga hunipaga nyama ulimi
Tena ulivyo mtundu kama nini
Unavyokatika mpaka chini
[Chorus]
Mpaka chini, mpaka chini
Mpaka chini unavyokatika iyo mizungu siamini
Mpaka chini, mpaka chini
Mpaka chini unavyokatika mpaka chini
[Bridge]
Mmh! Aah
Mmh
[Verse 4]
Hayo malavidavi yamenikamata leoo naongea
Na nilivyo sijiwezi naelekea kudata but I don't care
Sina wakunipa mapenzi zaidi yako mi sina
Mmh! Na ukijaga kuniacha mwenzako nta China
[Verse 5]
Mmh nakupenda kinyama kwel mi sina
Aah! Nasinzia nikukuwaza ooh baby
[Verse 6]
Unanichanganya ukipita na kimini
Uani umenitobolea kipini
Kati uwo ukiwa mwendo kama jini
Vimaswali baby unataka nini
[PreChorus]
Hivi hivi kwa nini
Ukianzaga hunipaga nyama ulimi
Tena ulivyo mtundu kama nini
Unavyokatika mpaka chini
[Chorus]
Mpaka chini, mpaka chini
Mpaka chini unavyokatika iyo mizungu siamini
Mpaka chini, mpaka chini
Mpaka chini unavyokatika mpaka chini
[Outro]
Akitaka kucheza, muwacheni
Kama kuringa, muwacheni
My baby, baby, uwacheni
Aah, huyu yuyu
Ama kucheza, muwacheni
Kama kuringa, muwacheni
My baby, baby, uwacheni
Mmh, huyu yuyu
Written by: Jay Melody
instagramSharePathic_arrow_out