Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Lava Lava
Lava Lava
Lead Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Lava Lava
Lava Lava
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Bonga
Bonga
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Aah eeh-eeh-eeh
Kwako tena sitamani
Nilishajua nilivaba
Huna jipya
[Verse 2]
Kurudi haiwezekani
Nishalioga janaba
Nikajisafisha mmh
Oh maradhi yangu
Yamepata muuguzi
Mola wangu
Amenivusha vihunzi
Pole mwenzangu
Unokesha kwa waganguzi
Nishapata wangu
Ano'jua nogesha chuzi
[PreChorus]
Naa ananipa mapenzi na kunijali dia
Ya nyuma niyasahau
Naa anamaliza tenzi kutwa kunisifia
Kwa methali na nahau
Kwingine nitake nini
[Chorus]
Ntang'angana, nang'ang'ania
Ooh mimi
Nang'ang'ana nang'ang'ania
Sitaki madanga wa mjini
Nang'ang'ana, nang'ang'ania
Ooh mimi
Nang'ang'ana nang'ang'ania
[Chorus]
Aah atake cha uvunguni
Sawa sawa
Pingili za sakafuni
Sawa sawa
Michezo ya kusaka kunguni
Sawa sawa eeh
Tom na Jerry katuni
Sawa sawa (Sawa)
[Verse 3]
Niliposema wa nini
Ye aliwaza atanipata lini
Kendembwe za nini
Na vijembe vya chini chini
Yupo makini
Penzi kashalibana na pini
Anipenda mimi
Hajazoea kuzini zini
Kwanza kakuzidi maarifa
Mpira tisini dakika
Nyavu anazitikisa aah-eeh
Mlangoni mpaka kwa dirisha
Pindu ananipindisha
Mtoto ananifikisha aah-eeh
[PreChorus]
Naa ananipa mapenzi na kunijali dia
Ya nyuma niyasahau
Naa anamaliza tenzi kutwa kunisifia
Kwa methali na nahau
Kwingine nitake nini
[Chorus]
Nang'angana, nang'ang'ania
Ooh mimi
Nang'ang'ana, nang'ang'ania
Sitaki madanga wa mjini
Nang'ang'ana, nang'ang'ania
Ooh mimi
Nang'ang'ana, nang'ang'ania
[Chorus]
Aah atake cha uvunguni
Sawa sawa
Pingili za sakafuni
Sawa sawa
Michezo ya kusaka kunguni
Sawa sawa eeh
Tom na Jerry katuni
Sawa sawa (Sawa)
Written by: Lava Lava
instagramSharePathic_arrow_out