Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Alikiba
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Ally Salehe Kiba
Lyrics
PRODUCTION & ENGINEERING
Yogo beats
Producer
Lyrics
[Verse 1]
Siku hizi hakuna mahaba
Yeah, mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, yamekwisha
[Verse 2]
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanafuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa
[Verse 3]
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikosha, no!
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Ya kwamba ulinikosha, no!
[Chorus]
Mwenzako mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
Mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah
[Verse 4]
S'kiza kwanza we dada
We dada
Mi' sio mgeni alishanikaba
Mapenzi yalinikausha
Natamani kuwa single
Ila nna-upwilu unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndio mi' wananitoa roho
[Verse 5]
Na siri juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi' mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha, ooh
Na siri yake tuu jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi' mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha, ooh
[Chorus]
Mwenzako mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
Mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah
Written by: Ally Salehe Kiba