Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Mbosso
Lead Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Mbwana Yusuph Kilungi
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mbosso
Producer
S2Kizzy
Producer
Lyrics
Vishavu vimeanza kunona
Kitambi ndo hichi sasa ona
Nitazame, nanenepa nanenepa
Nami nimempata chioma
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kunitukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova ova
Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Shilingi shilingi shilingi
Shilingi yatutoa roho shilingi
Shilingi yo ni mwanaharamu shilingi
Shilingi ya ua mapenzi
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana nikasema ova dear
Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova ova
Writer(s): Mbwana Yusuph Kilungi
Lyrics powered by www.musixmatch.com