Music Video

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Mbosso
Mbosso
Lead Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Mbwana Yusuph Kilungi
Mbwana Yusuph Kilungi
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mbosso
Mbosso
Producer
S2Kizzy
S2Kizzy
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Vishavu vimeanza kunona
Kitambi ndo hichi sasa ona
Nitazame, nanenepa nanenepa
Nami nimempata chioma
[Refrain]
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kunitukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova, ova
[Chorus]
Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova
[Refrain]
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova, ova
[Verse 2]
Shilingi, shilingi, shilingi
Shilingi yatutoa roho shilingi
Shilingi yo ni mwanaharamu shilingi
Shilingi ya ua mapenzi
[Refrain]
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova, ova
[Chorus]
Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova
[Refrain]
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova, ova
Written by: Mbwana Yusuph Kilungi
instagramSharePathic_arrow_out