Music Video

Mbosso - Merijaah (Official Lyric Video)
Watch Mbosso - Merijaah (Official Lyric Video) on YouTube

Credits

PERFORMING ARTISTS
Mbosso
Mbosso
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mbosso
Mbosso
Composer
Mbwana Yusuph Kilungi
Mbwana Yusuph Kilungi
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
S2Kizzy
S2Kizzy
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Jirani yangu, jirani yangu tumezoeana
Mlango wake, mlango wangu vinatazamana
Sukari kwake, chumvi kwangu tukaazimana
Akawa dhaifu wangu, dugu wangu tukashibana
Mwisho tukapendana oh Meri-Merijah
[PreChorus]
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oh Mer-Meri oh Meri-Merijah
[Chorus]
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oh Mer-Meri oh Meri-Merijah
[Verse 2]
Mwamba ni mwamba ni ayee
Mwamba ni msuli nakaanga
Wadhania-wandhaniayee
Waambie ndo tunayaanza
Ooh oh Meri-Merijah
[PreChorus]
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oh Mer-Meri oh Meri-Merijah
[Chorus]
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oh Mer-Meri oh Meri-Merijah
Written by: Mbwana Yusuph Kilungi
instagramSharePathic_arrow_out