Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Jay Melody
Jay Melody
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Sharif Saidi Juma
Sharif Saidi Juma
Composer
Adam Amiry Maingwa
Adam Amiry Maingwa
Arranger
PRODUCTION & ENGINEERING
GENIUS JINI X66
GENIUS JINI X66
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Masikini mimi
Mwenzako mimi naumia sana
Japo nishajua mimi kua sawa na wewe haitowezekana
Hata nikishuka chini ndio unaniona mi mjinga sana
Eti umepatwa nini mbona hapo mwanzo ulitulia
[Verse 2]
Na wala sio mbali, sio mbali
Tulikua karibu na malengo
Na leo kiutani kama utani
Umeshindwa kuumaliza mwendo
[Verse 3]
Na tena hujali haujali
Ukiondoka utaacha pengo
Hakuna cha habari nikae mbali
Huku kuachwa bila maelezo
[Chorus]
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawee, Mali na we
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
[Verse 4]
Au kua na mie hautamani
Aah basi niambie kosa gani
Basi niambie jinsi gani
Utakua sawa baby mmh
Nikueleze jinsi gani
Vile nimekuweka moyoni
Hata mnipime kwa mizani
Nitajaa kwako honey
[Bridge]
Mi naumwa
Siko sawa
Lako penzi ndio yangu dawa
Ninaumwa aah
Siko sawaa
Lako penzi ahh ndio yangu dawa
[Verse 5]
Na wala sio mbali, sio mbali
Tulikua karibu na malengo
Na leo kiutani kama utani
Umeshindwa kuumaliza mwendo
[Verse 6]
Na tena haujali, haujali
Ukiondoka utaacha pengo
Hakuna cha habari nikae mbali
Huku kuachwa bila maelezo
[Chorus]
Mbali nawe,mbali nawe
Mbali nawee,mbalii nawee
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Written by: Sharif Saidi Juma
instagramSharePathic_arrow_out