Lyrics

[Intro]
He-he, mm, bad
Mm-hmm
Oye (Sounds by Abba) shee
[Chorus]
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja
[Verse 1]
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
[Chorus]
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja
[Verse 2]
Nikamate, nikamate
Nikamatie, nikamatie, usinibwage
Baby, let me be romantic
Hatujali, we don't mind them
Mmh, navuta picha ulivyo teacher
Mambo joro joro
Mama Bonita
Murembo mororo
[Chorus]
Nakuja, baby nakuja, ah
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja, eh
[Verse 3]
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
[Chorus]
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja (Mm)
Allow me, allow me, baby nakuja
[Bridge]
Oh baby, njoo, njoo, njoo (Closer)
U-whoa, whoa, oh
Oh baby, come, come, come (Closer)
U-whoa, whoa, oh
[Verse 4]
Kwani umeumbwa kwa udongo ama, ah
Umefinyangwa kama dongo
Baby, kwani umenipiga zongo wa-allah, uh (Shee)
[Chorus]
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja
[Chorus]
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
Nakuja, baby nakuja, ah
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja, eh
[Outro]
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
Written by: Marioo, Tommy Flavour
instagramSharePathic_arrow_out