Featured In
Top Songs By Harmonize
Similar Songs
Lyrics
[Verse 1]
Mwenzako zikianza story za mapenzi
Mfano wakwanza ni wewe
Hadi marafiki zangu wananicheka
Naukumbuka ushenzi tulofanyaga mi nawe
Mwenzako mi nakuonea vibwenga
Hata wakisema maneno ni bure
Maana nyani halionagi kundule
Wanachotaka tuachane uzurure
Watucheke kiko wapi
[PreChorus]
Ujana una mengi na mengine nami nimefanya
Siwezi danganya nishamaliza
Kila niliompaga moyo autunze
Basi aliugawanya
Ona nilihanya ikaniumiza
We unanijali unanivumilia
[Chorus]
I wish, tuzeeke wote
I wish, tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yaumul kul haali
Unanipenda
I wish, tuzeeke wote
I wish, tuzikwe wote mmoja akifa kesho
[Bridge]
(Mapenzi) sa ukiondoka nitabaki na nani
(Mapenzi) ukibaki nitaondoka na nani
(Mapenzi) siwezi peke yangu
Yeah
[Verse 2]
Mama ukiongeza nitajinenepea
Unavyo nigombeza nakuona una care
Eti hatujapendeza wanatufokea
Me I don't care ndo nishakolea
Kipofu nishaona mwezi
Vurugu vurugu siwezi
Leo Sinza kesho Kinyerezi mara Mbezi
[PreChorus]
Ujana una mengi na mengine nami nimefanya
Siwezi danganya nishamaliza
Kila niliompaga moyo autunze
Basi aliugawanya
Ona nilihanya ikaniumiza
We unanijali unanivumilia
[Chorus]
I wish, tuzeeke wote
I wish, tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yaumul kul haali
Unanipenda
I wish, tuzeeke wote
I wish, tuzikwe wote mmoja akifa kesho
I wish
I wish
I wish
I wish
[Outro]
(Mapenzi) sa ukiondoka nitabaki na nani
(Mapenzi) ukibaki nitaondoka na nani
(Mapenzi) siwezi peke yangu
Written by: Rajab Harmonize