Featured In
Top Songs By Darassa
Similar Songs
Lyrics
Classic music
Ooh yeah yeah
Kapipo
Nipe chakula nitanawa, nitakula nitashiba
Siku nikienda kulala nitaota mapenzi
Ukisikia naenda, nafura najiimbia
Kama ukisikia naimba naimba mapenzi
Ukiniona nalia, nifute machozi
Jua ukiniona nalia nalilia mapenzi
Ooh yeah
Nilishafanya vi ujanja ujanja vya kubuni
Kaisoma namba kwa Kirumi
Kujichanga changa mpaka mbuni
Na kumbe najichanja chanja kama kuni
Nitafute wapi nakosea step
Labda nivae fashion nijenge shape
Mwishoni I try to doubt myself
Siwezi kuogelea ya maji marefu
Ndio maana bado nakuwa na kiwewe
Maswali najiuliza mwenyewe
Nasema nitapata wangu je ni wewe?
Naona unaweke kifaranga na mwewe
Mapenzi yanataka uyape respect
Commitment assurance
Mapenzi sio kitu kama pesa ya benki
Umpe bunduki mlinzi akutetee
Nipe chakula nitanawa, nitakula nitashiba
Siku nikienda kulala nitaota mapenzi
Ukisikia naenda, nafura najiimbia
Kama ukisikia naimba naimba mapenzi
Ukiniona nalia, nifute machozi
Jua ukiniona nalia nalilia mapenzi
Ooh yeah
Mi nina roho na moyo
Ndani sio wa chuma roboti
So nahitaji furaha amani
Ya upendo ndo nipate comfort
Nimetafuta tafuta njiani
Mtu wako mwamina wokoti
Can I company you baby
Won't you give loyalty
Marafiki zangu wakikutaka utasemaje
Namwambia please respect yourself
Na kama napata utachezwa itakuwaje
I will run for you baby when you need my help
Mapenzi yanataka uyape respect
Commitment assurance
Mapenzi yeah
Nipe chakula nitanawa, nitakula nitashiba
Siku nikienda kulala nitaota mapenzi
Ukisikia naenda, nafura najiimbia
Kama ukisikia naimba naimba mapenzi
Ukiniona nalia, nifute machozi
Jua ukiniona nalia nalilia mapenzi
Ooh yeah
Juu nalia mapenzi
Ooh yeah
The mix killer
Writer(s): Faustina Mfinanga, Sharif Thabeet, Marioo
Lyrics powered by www.musixmatch.com