Lyrics

Pour La Vie je t'aime pour La Vie, ooh mon na mon je t'aime pour La Vie
Nikiwa karibu na wewe yeah, ooh I can't breath
Nikiwa karibu na wewe yeah, oh you make me weak
Ooh I get shivers when the sun hits your brown eyes
Baby live the way I know comply
Napenda ukinipapasa (Pararararara), mmh yeah (Pararararara)
Roho unanitakasa (Pararararara), ooh yeah (Pararararara)
Je t'aime pour la vie (Pararararara), ooh pour la vie (Pararararara)
Roho unanitakasa (Pararararara), ooh yeah (Pararararara)
Umenivunja-vunja viungo vya mwili, kwako niko hoi taabani
Dumba-dumba zimekithiri, mambo doi-doi tafarani
Uzi kaudungwa kwa sindano, moyo ukaushona (Ahaa)
Nikiteleza kwenye mabano, konakona (Ahaaa)
Nilaze kifuani mwako, nikihema taratibu mama
Sheshena kwa michezo yako, mwalimu umeniharibu mama
Pour La Vie je t'aime pour La Vie, ooh mon na mon je t'aime pour La Vie
Napenda ukinipapasa (Pararararara), mmh yeah (Pararararara)
Roho unanitakasa (Pararararara), ooh yeah (Pararararara)
Je t'aime la pour la vie (Pararararara), ooh pour la vie (Pararararara)
Roho unanitakasa (Pararararara), ooh yeah (Pararararara)
Aah! Ukinigusa kiuno, aah! Ukinichum-chum
Aah! I feel you when am with you, aah I love you!
Aah! Ulimi kwa shingo ukiutambaza, aah! Akili inasafiri
Aah! Oooh unaniuliwaza, aah I love you!
Written by: Tanasha Donna, Tanasha Donna Oketch
instagramSharePathic_arrow_out