Music Video

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Billnass
Billnass
Performer
Marioo
Marioo
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Nicholus Emmanuel Lymo
Nicholus Emmanuel Lymo
Songwriter
Omary Ally
Omary Ally
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
S2Kizzy
S2Kizzy
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Oh nakuvizia tukeshe nasubilia tutete
Nakuvisia tusepe napulizia mtete
Watakususia mkweche nitakuzugia na pete
Si unajua vile mi niko hoi hali tete
[Verse 2]
Wapo walosema kwamba sipigi show
I wish you know wasikushawishi doo
Habari zao zakua, sitishi hivyo
Charge empty kila suka yani baterry low
[Verse 3]
Aah leo una vibe tukale fresh juice
Mi ni mgonjwwa we tabibu njo unitibu one stress nice
Nitakuwa mjinga niki messi-messi
Ulikua nami toka sina kitu, enzi napiga deshi deshi
[Verse 4]
Me sijaambiwa nikwambie, ila moyo utani-tetereka
Ukiwa mbali na mie, upweke uta nitetemesha
Furaha yako niachie, hiko mikono salama deka mmh
Utakacho niambie ohh babe
[Chorus]
Tekuma, tekuma deka
Tekuma, tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)
Tekuma, tekuma deka
Tekuma, tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)
[Verse 5]
Aah, don't let them fool you (Fool you)
Kisa umenipenda mimi huyu (Huyu)
Mapenzi ya dhati na hiisa ulikwa nayo toka kitambo
Na mengi uka hadithia, tunawezaje ikawa mipango
Since day one niko na plan kichwani
[Verse 6]
Nimilki mjengo na bonge la wife kwa ndani
Wife sio utani wife waku vibe kanisani
Sio yule wife wa stamina alisepa nyumbani
Mapenzi ni yetu yetu, na sisi kiviyetu vyetu
Yani kama chuga baridi yetu-yetu
[PreChorus]
Me sijaambiwa nikwambie, ila moyo utani-tetereka
Ukiwa mbali na mie, upweke uta nitetemesha
Furaha yako niachie, hiko mikono salama deka mmh
Utakacho niambie ohh babe
[Chorus]
Tekuma, tekuma deka
Tekuma, tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)
Tekuma, tekuma deka
Tekuma, tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)
Ooh ooh (Deka ukiwa na mimi tu)
Ooh ooh (Deka ukiwa na mimi tu)
Written by: Nicholus Emmanuel Lymo, Omary Ally
instagramSharePathic_arrow_out