Lyrics

[Verse 1]
Mapenzi ya usiku
Sio kama ya mchana
Usiku kigiza flani
Mchana tunaonana
[Verse 2]
Halafu kipaji anhaa
Amempa Maulana
Ananionesha michezo
Ambayo sijawahi ona
[PreChorus]
Kwisha kabisa
Mwenzenu ananimaliza
Huu ufundi kapatia wapi
Mbona anapitiliza
[PreChorus]
Kwisha kabisa
Jamani anamiujiza
Penzi kalichomea ubani
Utamu tu ananipa
[Chorus]
Mwenzenu nazama
Mi sijui nifanyeje
Sjui mimi
Sijui nimekuaje
Sijui mimi
Nimekua kama bwegee
Mwenzenu
Naenjoy mwenyewe olaah
[Verse 3]
Hivi kwanini ukiitwa honey
Unasikia raha mpaka ndani oh
Hadi unatamani uiskie milele maishani
Namaanisha sio utani
Huu upendo umenipa amani
Wengine wanafika mbali
Eti mapenzi majani
[PreChorus]
Kwisha kabisa
Mwenzenu ananimaliza
Huu ufundi kapatia wapi
Mbona anapitiliza
[PreChorus]
Kwisha kabisa
Jamani anamiujiza
Penzi kalichomea ubani
Utamu tu ananipa
[Chorus]
Mwenzenu nazama
Mi sijui nifanyeje
Sjui mimi
Sijui nimekuaje
Sijui mimi
Nimekua kama bwegee
Mwenzenu
Naenjoy mwenyewe olaah
Written by: Sharif Saidi Juma, Sharif SaidiJuma
instagramSharePathic_arrow_out