Music Video

Innoss'B Ft Diamond Platnumz - Yope Remix (Official Music Video)
Watch Innoss'B Ft Diamond Platnumz - Yope Remix (Official Music Video) on YouTube

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Salmin Rashid Kassim
Salmin Rashid Kassim
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Ati kanyaga ka ana pigo za unafiki
Kanyaga kama mmbeya asiye rafiki
Kanyaga kama fisi ana roho ya usnichi
Hakulishi, hakuvishi kwani vipi?
[Refrain]
Kanyaga
Wazee wa shobo kudandia, kanyaga
Klabu kuomba omba bia, kanyaga
Slay queens vibisho vya bandia
Ukivipa hai ati madai vinavimbia
[Refrain]
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Wooya Kanyaga!
[Chorus]
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
[Chorus]
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unanicheza zangu
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
[Bridge]
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
[Verse 2]
Ooh yeah eeh
Siku hizi watu wanataka money
So mitimu itakukosti, Kanyaga!
Kunitumia mipicha pigo gani?
Ati basi day nikuposti (Oh yeah yeah)
[Refrain]
Kadi za harusi kuchanga changa, Kanyaga!
Wakati mwenyewe nina majanga, Kanyaga!
Sina godoro sina kitanda
Ati nikuchangie kodi kwenda kupanga (Yii)
[Refrain]
Kama buti la mugambo, Kanyaga!
Wavuruga mipango, Kanyaga!
Wazee wa Insta michambo
Ati 'baby niunge bando'
[Refrain]
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Wooya Kanyaga!
[Chorus]
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
[Verse 3]
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unanicheza zangu
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
[Chorus]
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
[Verse 4]
I say leeeoo
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na habare
Kama wao paka si-mbwa koko
[Verse 5]
Leeo
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na habare
Kama wao paka si-mbwa koko
[Outro]
Asa timba, timba timba (Timbaa)
Wanangu timba (Timbaa)
Wao kula kushoto (Timbaa)
Kula kulia (Timbaa)
[Outro]
I say timba, timba timba (Timbaa)
Oyaa wahuni timba (Timbaa)
Kama unazikili (Timbaa)
Mchaka kabisa akili (Timbaa)
Written by: Diamond Platnumz
instagramSharePathic_arrow_out