Credits
PERFORMING ARTISTS
Ibraah
Performer
Harmonize
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Ibrahim Abdallah Nampunga
Songwriter
Rajabu Abdulkahali Ibrahim
Songwriter
Lyrics
Mmmh
Aaah
Bomboclaat
Chinga again
Konde music world wide
Eeh Oooh
Cough ah
Mungu alonipa ukilema hawezi ninyima mwendo
Na sikupanga imenibidi kulivua pendo
Maana mwanzo nilidhani utabadilika
Of course hakuna aliekamilika
Masaa masiku miaka imekatika
Nachukia kujiona nikilalamika
Bora ugali dagaa kwenye amani
Kuliko wali nyama vitani
Mateso vitimbwi kurupushani
Kama unajiona kichwa shingo nani
Bora ugali dagaa kwenye amani
Kuliko wali nyama vitani
Mateso vitimbwi kurupushani
Kama unajiona kichwa shingo na mimi sipendi
Dharau manyanyaso
Dharau masimango
Dharau manyanyaso
Siweziii siweziii
Dharau manyanyaso
Dharau masimango
Dharau manyanyaso
Siweziii Siweziii
(Instrument)
Mmmh
Aah
Oooh
Aah Aaaah
Yeah Me nilidhumu nafsi kuji kirihisha
Nikiamini me mtu wa mtu
Kumbe bora ninge chuku chuku
Aaah kidogo
Ninge fanya utukutu
Moyo ndio ulikupa nafasi
Chakusikitisha minacho ambulia ni maumivu tupu
Bora ninge chuku chuku
Aaah kidogo
Ama ningewapa wakifanye supu
Kwako nilikuwa nyendo sina
Nikijua you are my destiny
Sina wa kumtuzia heshima
Kama hata wewe nitashindwa thamini
Ni kweli utakwenda mazima
Japo itakutwa ngumu kwamani
Nitamisi michezo ya mama amina
Yakucheza kwaku buruza ulimi
Eeeh
Mapenzi ulionipa wewe
Walahi mimi sikutamani mwengine we wa kiapo
Mwenzangu umebadilika wewe
Japo minakupa kila utakacho
Bora ugali dagaa kwenye amani
Kuliko wali nyama vitani
Mateso vitimbwi
Na ndio maana hatuendani weeeh (mmh)
Dharau manyanyaso
Dharau masimango
Dharau manyanyaso
Siweziii Siweziii
Dharau manyanyaso
Dharau masimango
Dharau manyanyaso
Siweziii Siweziii
Yaw yaw
Dharau manyanyaso
Manyanyasooo
Yeeh iih
KONDE BOY CALL ME NUMBER ONE
THE MIX KELLER
BAKHRESA
Writer(s): Ibrahim Nampunga
Lyrics powered by www.musixmatch.com