Lyrics
[Verse 1]
Habibi, habibi, habibi taamu
Habibi, habibi, mi nipo tayari
Na kama ikizidi, tuanzae safari
Tumuite shahidi, shahidi jamani
[PreChorus]
Eti life ni kama mlima, mlima Kilimanjaro
Huwezipanda ukiwa China, labda uje Ngarenaro
[Chorus]
Jamani Aviola, jamani Aviola
Amependwa na mama, amependwa na mama
Jamani Aviola, jamani Aviola
Ana nyota kali sana, ana nota kali sana
[Refrain]
Dada, dada, dada, dada
Dada, dada, dada bonge la dada
Dada, dada, dada, dada
Dada, dada, dada bonge la dada
[Refrain]
Dada, dada, dada, dada
Dada, dada, dada bonge la dada
Dada, dada, dada, dada
Dada, dada, dada, dada
[Verse 2]
Kama masiara, masiara, tunazeeka
Waliona kama uongo mwanzoni walitucheka
Bila ya kafara, asalala tumetosheka
Mobalinangaiyo Kasongoao twaserereka
[PreChorus]
Eti life ni kama mlima, mlima Kilimanjaro
Huwezipanda ukiwa China, labda uje Ngarenaro
[Chorus]
Jamani Aviola, jamani Aviola
Amependwa na mama, amependwa na mama
Jamani Aviola, jamani Aviola
Ana nyota kali sana, ana nota kali sana
[Refrain]
Bonge la dada, dada, dada, dada
Dada, dada, dada, dada
Dada bonge la dada, dada, dada
Dada, dada, dada, dada
[Refrain]
Dada bonge la dada, dada, dada
Dada, dada, dada, dada
Dada bonge la dada, dada, dada, dada
Dada, dada, dada, dada
Written by: Mbwana Yusuph Kilungi