Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Kusah
Vocals
Ruby Afrika
Performer
COMPOSITION & LYRICS
SALMIN ISMAIL HOZA
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
lordy
Producer
Lyrics
[Verse 1]
Ooh baba
Siku hizi bila pesa hakuna mahaba
Japo sawa nakaba
Anataa hataki dunju kwangu si haba
[Verse 2]
Ooh baba
Siku hizi bila pesa hakuna mahaba
Japo sawa nakaba
Leta hataki dunju kwangu si haba (Si haba)
[Verse 3]
Mi mwenyewe mzuri kama nini
Nahitaji manyenyekeo
Yaani mi mzuri kama nini
Nahitaji matunzo
[PreChorus]
Mwanaume gani unaringia jina
Nyumba huna we hata kiwanja huna
Gari huna hata pikipiki huna
Kaka utaniweza wapi?
[PreChorus]
Mwanaume gani unaringia jina
Nyumba huna we hata kiwanja huna
Gari huna hata pikipiki huna
Kaka utaniweza wapi?
[Chorus]
Nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
Naachia nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
Nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
Naachia nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
[Verse 4]
Yaani nilale mlango wazi
Kati ridhiki si yangu
Mwisho wa siku nipate maradhi
Nilaumu moyo wangu
[Verse 5]
Mwanamke gani huna dogo
Kila kitu nikikupa una zogo
Hata kama ikikosa kidogo
Huwa unanuna
[Verse 6]
Jigune vindani kama gogo
Ati hanitaki anataka vigogo
Hata kama nikileta kidogo
Anaguna guna
[PreChorus]
Mwanamke gani unaringia jina
Mume huna we hata mchumba huna
Busara huna wee, hata heshima huna
Dada utanipata wapi mie?
[PreChorus]
Mwanamke gani unaringia jina
Mume huna we hata mchumba huna
Busara huna wee, hata heshima huna
Dada utanipata wapi mie?
[Chorus]
Nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
Naachia nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
Nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
Naachia nadondosha (Dondosha, dondosha, dondosha)
[Outro]
Mwanaume gani unaringia jina
Nyumba huna, we hata kiwanja huna
Gari huna hata pikipiki huna
Kaka utaniweza wapi?
[Outro]
Mwanamke gani unaringia jina
Mume huna, we hata mchumba huna
Busara huna wee hata heshima huna
Dada utanipata wapi mie?
Written by: Hellen Majeshi, SALMIN ISMAIL HOZA