Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Kusah
Kusah
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
SALMIN ISMAIL HOZA
SALMIN ISMAIL HOZA
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Cuckie Daddy
Cuckie Daddy
Producer

Lyrics

Hata waseme nini sikuachi, ndio kwanza umepanda na chati
Umenidhibiti umeshika na shati, umeshinda umevunja kamati
Mwenzio umejitoa mhanga, kwenye huba lako
Nichape nipeleke utakavyo mimi punda wako
Sitoshika simu yako, ila shika yangu nimekubali
Hao, hao wafiki zako, wanokusema mimi sikubali (Eti wanasema)
Mara unagawa kwa vipande, oh unakwenda kwa mparange
Eti sikwezi nikajipange, mara nikuache ukadange
Baby mi (Hapana), kukuacha (Hapana)
Unachonipa (Hapana), mi kukikosa (Hapana)
Baby mi (Hapana), kukuacha (Hapana)
Unachonipa (Hapana), mi kukikosa (Hapana)
Hushangai nishakufumania, ila bado nimeng'ang'ania
Penzi lako limenizidia, na mwaka huu watanizika
Na si walisema kwamba hubebeki, leo nakubeba yaani kudadeki
Mmh afe kipa au afe beki (Nishakuwa wako liwalo liwe)
Sitoshika simu yako, ila shika yangu nimekubali
Hao, hao wafiki zako wanokusema mimi sikubali (Eti wanasema)
Mara unagawa kwa vipande, oh unakwenda kwa mparange
Eti sikwezi nikajipange, mara nikuache ukadange
Baby mi (Hapana), kukuacha (Hapana)
Unachonipa (Hapana), mi kukikosa (Hapana)
Baby mi (Hapana), kukuacha (Hapana)
Unachonipa (Hapana), mi kukikosa (Hapana)
Written by: SALMIN ISMAIL HOZA
instagramSharePathic_arrow_out