Music Video

Kusah ft Maua Sama - Wenyewe (Official Lyrics Video )
Watch Kusah ft Maua Sama - Wenyewe (Official Lyrics Video ) on YouTube

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Kusah
Kusah
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Maua Sama
Maua Sama
Songwriter
SALMIN ISMAIL HOZA
SALMIN ISMAIL HOZA
Songwriter

Lyrics

[Verse 1]
Kama ni gari umeliwasha limewaka
Na niko shwari iih ukwia kando sina mashaka
[Verse 2]
Vile vituko vya chumbani vi udi na ubani
Vagi la tsunami hadi nasema kunani
[PreChorus]
Iwe baridi kali ama joto
Yani kwenye raha na msoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
Iwe kwenye gari ama kwa ngoko
Yani we kulia me kushoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
[Chorus]
Haya mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Jama mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
[Verse 3]
Hallo
Tuhame huku kwenye bangaloo
Twende masaki tuwarushe roho
Mapenzi yetu yawakabe koo
Halloo
[Verse 4]
Mwendo wa kupima
Uzuri flani rangi ya madina
Nikutoe dinner
Wavimbe macho kama wachina oh oh oh
[PreChorus]
Iwe baridi kali ama joto
Yani kwenye raha na msoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
Iwe kwenye gari ama kwa ngoko
Yani we kulia me kushoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
[Chorus]
Haya mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Jama mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Written by: Maua Sama, SALMIN ISMAIL HOZA
instagramSharePathic_arrow_out