Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Zuchu
Zuchu
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Zuhura Othman Soud
Zuhura Othman Soud
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mr. LG
Mr. LG
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Ah Pablo, ukigusa biti nashtuka
Naona kama napanda mizuka
Na kichwani shanijaa chupa
Ah Pablo, ukigusa biti nashtuka
Naona kama napanda mizuka
Na kichwani shanijaa chupa
[Verse 2]
Lazima irudiwe sababu nnataka tena
Hili goma noma limemkuna kwenye mtima
Sitaki nishauriwe kwenda nyumbani mapema
Kwanza mnipepee, nina jasho mwili mzima
[Chorus]
Haya sasa, vidaleki antenna, zungusha antenna
Vidaleki antenna, zungusha antenna
Vidaleki antenna, zungusha antenna
Vidaleki antenna, zungusha antenna
[Refrain]
Eya
Eya
Eya
Eya
[Verse 3]
Eh, piano iyo ih, piano iyo ah
Na biti la LG, bana linanoga
Piano iyo ih, piano iyo ah
Na biti la LG, bana linanoga
[Verse 4]
Ebu kwanza tucheze munike
Mwite yule aje akatike
Ashurey, ndo atetemeke
Nzowa mkono, upande ushuke
Twende vimacho we nipe vimacho
Haya vimacho tikisa vimacho
Twende vimacho we nipe vimacho
Haya vimacho tikisa (Eya)
[PreChorus]
Lazima irudiwe sababu nnataka tena
Hili goma noma limemkuna kwenye mtima
Sitaki nishauriwe kwenda nyumbani mapema
Kwanza mnipepee nina jasho mwili mzima
[Chorus]
Haya sasa, vidaleki antenna zungusha antenna
Vidaleki antenna zungusha antenna
Vidaleki antenna zungusha antenna
Vidaleki antenna zungusha antenna
[Bridge]
Eya
Eya
Eya
Eya
[Outro]
Ah Pablo, ukigusa biti nashtuka
Naona kama napanda mizuka
Na kichwani shanijaa chupa
Written by: Zuhura Othman Soud
instagramSharePathic_arrow_out