Lyrics
[Verse 1]
Mie salama na mzima
Sina hata useme adaah
Umenishika kwa mtima
Pumzi sihemi adaah
[Verse 2]
Penzi si made in China
Halinaga utemi adaah
Nyingi dua amina
Ololofemi adaah
[Verse 3]
Tumeipamba nyumba kwa tabasamu
Macho fumbua fumba hunihishi hamu
Wanaongea Pumba, tuwafunze nidhamu
Kwa moyo upo mchumba hadi kwenye Damu
[Chorus]
(Nguvu sina) Daah da da da daah dah
(Umenimaliza) Daah da da da daah dah
(Akili kabasa inadata) Daah da da da daah dah
(Umeniweza mpenzi) Daah da da da daah daah
[Verse 4]
Anipa raha, moyo upo kwa mabano
Penzi lake ni taa, mbali na si ishirini na tano
Wasiopenda poleni, andaeni maandamano
Kwake hii kivuli jua, tunalitimiza agano
[Refrain]
Kwetushiga na rhumba (Ra-ra-ra)
Kwa sebule na na chumba (Para-ra)
Nikiyumba ywayumba (Ra-ra-ra)
Naenda naye sambamda (Ra-ra-ra)
[Refrain]
Kwetushiga na rhumba (Ra-ra-ra)
Kwa sebule na chumba ra rara)
Akiyumba ywayumba (Ra-ra-ra)
Naenda naye sambamda (Ra-ra-ra)
[Chorus]
(Ooh) Daah da da da daah dah
(Umenimaliza) Daah da da da daah dah
(Akili kabasa inadata) Daah da da da daah dah
(Umeniweza mpenzi) Daah da da da daah daah
Written by: Faustina Nandera Charles Mfinanga