Lyrics
Na ye ni mwanadamu, na dunia tunapita
Kama kupata kwa zamu, oh zamu, yangu itafikaa
Siwezi kana damu, kesho wataja nizika
Ila ningependa afahamu, haya mateso aloniipa
Mmh! Tena mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeye eh
Kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata ichelewe eh
Oh oh oh
Sina furaha naigiza ilimradii, watoto wasijihisi vibaya
Huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema
Atarudi, atarudi mama
Atarudi, anawapenda sana
Atarudi, atawaletea zawadi
Atarudi, eh atarudi mama
Atarudi, atarudi mama
Atarudi, anawapenda sana
Atarudi, atawaletea zawadi
Atarudi
Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni imefanya ukanikimbia
Ni vyema ungefanya maigizo, mara kumi usingenizalia
Mmmh, ingali mapenzi pekee, ningesema ni changamoto nijifunze
Ameniacha mpweke, na watoto niwatunze
Eh, ila siwezi laumu (ah), wenda yupo sawa (ah)
Kipato changu kigumu (ah), kutwa bumunda na kahawa (ah)
Eh! Ila mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeye eh
Kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata ichelewe
Oh oh oh
Sina furaha naigiza ilimradi, watoto wasijihisi vibaya
Huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya
Cha kujibu sina nabaki tu kusema
Atarudi, atarudi mama
Atarudi, anawapenda sana
Atarudi, atawaletea zawadi
Atarudi, eh atarudi mama
Atarudi, atarudi mama
Atarudi, anawapenda sana
Atarudi, atawaletea zawadi
Atarudi
You will come back
Atarudi
And he is a man, and the world we pass
Na ye ni mwanadamu, na dunia tunapita
If you get a turn, oh turn, mine will stay
Kama kupata kwa zamu, oh zamu, yangu itafikaa
I can't bleed, tomorrow they will tell me to bury
Siwezi kana damu, kesho wataja nizika
But I would like him to understand, this suffering he gave me
Ila ningependa afahamu, haya mateso aloniipa
Hmm! Again, tell him who denied me, it's him
Mmh! Tena mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeye eh
Getting in line, I'm waiting for mine, until it's late eh
Kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata ichelewe eh
Oh oh oh
Oh oh oh
I'm not happy, I'm acting as long as the children don't feel bad
Sina furaha naigiza ilimradii, watoto wasijihisi vibaya
This little one asks if daddy, mother has left the house
Huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya
I have nothing to answer, I just have to say
Writer(s): Rajabu Ibrahim Abdulkahali
Lyrics powered by www.musixmatch.com