Music Video

Harmonize - Yeye (Official Visualizer)
Watch Harmonize - Yeye (Official Visualizer) on YouTube

Credits

PERFORMING ARTISTS
Harmonize
Harmonize
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Rajabu Ibrahim Abdulkahali
Rajabu Ibrahim Abdulkahali
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Kimambo Beats
Kimambo Beats
Producer

Lyrics

Na ye ni mwanadamu, na dunia tunapita Kama kupata kwa zamu, oh zamu, yangu itafikaa Siwezi kana damu, kesho wataja nizika Ila ningependa afahamu, haya mateso aloniipa Mmh! Tena mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeye eh Kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata ichelewe eh Oh oh oh Sina furaha naigiza ilimradii, watoto wasijihisi vibaya Huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya Cha kujibu sina nabaki tu kusema Atarudi, atarudi mama Atarudi, anawapenda sana Atarudi, atawaletea zawadi Atarudi, eh atarudi mama Atarudi, atarudi mama Atarudi, anawapenda sana Atarudi, atawaletea zawadi Atarudi Siwezi sema sijui tatizo, hali yangu duni imefanya ukanikimbia Ni vyema ungefanya maigizo, mara kumi usingenizalia Mmmh, ingali mapenzi pekee, ningesema ni changamoto nijifunze Ameniacha mpweke, na watoto niwatunze Eh, ila siwezi laumu (ah), wenda yupo sawa (ah) Kipato changu kigumu (ah), kutwa bumunda na kahawa (ah) Eh! Ila mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeye eh Kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata ichelewe Oh oh oh Sina furaha naigiza ilimradi, watoto wasijihisi vibaya Huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya Cha kujibu sina nabaki tu kusema Atarudi, atarudi mama Atarudi, anawapenda sana Atarudi, atawaletea zawadi Atarudi, eh atarudi mama Atarudi, atarudi mama Atarudi, anawapenda sana Atarudi, atawaletea zawadi Atarudi You will come back Atarudi And he is a man, and the world we pass Na ye ni mwanadamu, na dunia tunapita If you get a turn, oh turn, mine will stay Kama kupata kwa zamu, oh zamu, yangu itafikaa I can't bleed, tomorrow they will tell me to bury Siwezi kana damu, kesho wataja nizika But I would like him to understand, this suffering he gave me Ila ningependa afahamu, haya mateso aloniipa Hmm! Again, tell him who denied me, it's him Mmh! Tena mwambieni aloninyima mimi, ndio kampa yeye eh Getting in line, I'm waiting for mine, until it's late eh Kupata foleni, nasubiri yangu mimi, hata ichelewe eh Oh oh oh Oh oh oh I'm not happy, I'm acting as long as the children don't feel bad Sina furaha naigiza ilimradii, watoto wasijihisi vibaya This little one asks if daddy, mother has left the house Huyu mdogo anauliza eti daddy, mama ameihama kaya I have nothing to answer, I just have to say
Writer(s): Rajabu Ibrahim Abdulkahali Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out