Lyrics

[Intro]
Ohh! Damu ya Yesu
Imenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu ehh
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Wee umenifanya ning'are Yesu
[Verse 1]
Wewe waitwa nuru, eti nuru ya watu
Ukiingia kwangu mi nang'ara
Ndani ya hiyo nuru, eti kuna uzima
Ukiingia kwangu nina uzima
[Verse 2]
Uso wake Yesu aliye sura yake Mungu
Umeingia kwangu mi nang'ara
Nuru ya injili utukufu wake Kristo
Umeingia kwangu mi nang'ara
[Chorus]
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
[Verse 3]
Inuka uangaze weh!
Nuru yako imekuja
Utukufu wa Bwana umekuzukia wewe
Mataifa watakujia
Wafalme watakuja
Utukufu wa Bwana umekuzukia wewe
[Verse 4]
Inuka uangaze weh!
Nuru yako imekuja
Utukufu wa Bwana umekuzukia wewe
Mataifa watakujia
Wafalme watakuja
Utukufu wa Bwana umekuzukia wewe
[Chorus]
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
[Chorus]
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
[Chorus]
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are Yesu
Written by: Christina Shusho
instagramSharePathic_arrow_out