Top Songs By Barnaba
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Rayvanny
Vocals
Barnaba
Performer
Lyrics
[Chorus]
Uh! ai mama jamani mbona we mzuri hivyo
Uh! ai mama unavyoringa sasa sio shida zako hizo
Uh! ai mama jamani mbona we mzuri hivyo
Uh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo
Ukicheka mzuri mzuri
Ukinuna mzuri mzuri
Ukiringa mzuri mzuri
Ata ukilia mzuri ni mzuri tu
[Verse 1]
Rangi ya chungwa mama chocolate viuno tanga Manzabay
Lakipit alo simama una nywele shombe shombe Zanzibari chei chei
Umejaliwa nyama na huo mguu aki ya Mungu hakosei
Mpaka nikuoe ndo ntafanya usiwe na wasi mama wala mi sikuchezei
[PreChorus]
Najionea wivu
Kukupata we my boo
Tabibu dozi nipe taratibu
[Chorus]
Uh! ai mama jamani mbona we mzuri hivyo
Uh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo
Ukicheka mzuri mzuri
Ukinuna mzuri mzuri
Ukiringa mzuri mzuri
Ata ukilia mzuri ni mzuri tu
[Verse 2]
Usuke sangitaa unapendeza
Hana haraka mtoto mwendo wa pweza
Yake mahaba ndio kaniweza
Kama chakula sahani ya pili naongeza
Walahi kwake naona nyota nyota tu
Si kwa mahaba unayonipa boo
Na huu wangu wivu utanikuta yasiyo
Niombeeni nipone
Ananivuruga
Pale anaponiuliza vipi uhali gani?
Mopa o unaitwa nani?
Namjibu niko sawa
Kisha namwambia anipigie video call nikuone
[PreChorus]
Najionea wivu
Kukupata we my boo
Tabibu dozi nipe taratibu
[Chorus]
Uh! ai mama jamani mbona we mzuri hivyo
Uh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo
Ukicheka mzuri mzuri
Ukinuna mzuri mzuri
Ukiringa mzuri mzuri
Ata ukilia mzuri ni mzuri tu
[Outro]
Ule kimini chuna tototo unafanya nishindwe ku to to talk
Umetakata uko sososo unawatesa tiki tototok
Mara upo nyonyo nipo titi ata Saraphina anajua hushikiki
Eh! Serious nimempenda nasema na simuachi aaah!