Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Zuchu
Zuchu
Vocals
Spice Diana
Spice Diana
Lead Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Zuchu
Zuchu
Songwriter
Spice Diana
Spice Diana
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mocco Genius
Mocco Genius
Producer

Lyrics

(Spice Dina)
Umepata mabinti lakini
Mimi napiga kama kush
Nimeshika maboss wa Kampala
Wote nikawa-crush
Jina langu ni Diana
Nilikuwona toka jana
Sasa kama tumekuta
Kila kitu baby we are gonna do
Upendo oooh, Upendo oooh
Upendo sio magic huu ni upendo
Upendo oooh, Upendo oooh
Upendo sio magic huu ni upendo
(Zuchu)
Mapenzi, Mapenzi
Yamenizidi kwa kichwa
Me mwenzu siwezi
Mapenzi, Mapenzi
Yamenizidi kwa kichwa
Tena mwenzu siwezi
Akinipa karroti naidandia
Naikula kavu kavu
Na visamba soti umainulia
Aichane mpaka nyavu
To the left, Kulia (Kulia)
Atakacho mimi sawia (sawia)
Kama kasheti vibagia (bagia)
Chachandu uniwangia
Akinipa karroti naidandia
Naikula kavu kavu
Na visamba soti umainulia
Aichane mpaka nyavu
Ameni-touch touch iyoo
Amenigusa gusa
Vya juu, vya chini, vya nje
Vya kati pia
Amenigusa gusa
Ameni-touch touch iyoo
Amenigusa gusa
Written by: Spice Diana, Zuchu
instagramSharePathic_arrow_out