Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Zabron Singers
Background Vocals
Naijabase
Performer
COMPOSITION & LYRICS
JAPHET ZABRON PHILIP
Songwriter
Marco Joseph Bukuru
Songwriter
Lyrics
[Verse 1]
Tunaishi kwa nguvu za Mungu
Yeye ndo katuweka hapa
Kila hatua tunapitia ye ndiye mlinzi wetu
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi
Je ntavuka salama mchana jioni hata usiku
[Verse 2]
Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi
Kupata na kukosa ajua mimi nitapata nini
Kulala kuamka ajua mimi nitaamka vipi
Maisha yetu yote Mungu ndiye anazo siri zetu
[Verse 3]
Tunaishi kwa nguvu za Mungu
Yeye ndo katuweka hapa
Kila hatua tunapitia ye ndiye mlinzi wetu
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi
Je ntavuka salama mchana jioni hata usiku
[Verse 4]
Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi
Kupata na kukosa ajua mimi nitapata nini
Kulala kuamka ajua mimi nitaamka vipi
Maisha yetu yote Mungu ndiye anazo siri zetu
[Chorus]
Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena ah
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha
Sina haki mimi kujisifu tena ah
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi
[Chorus]
Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena ah
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha
Sina haki mimi kujisifu tena ah
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi
[Verse 5]
Mwanga wangu wa njia na nyota katika maisha yangu
Ye ni Mungu wa nuru ushindi hata vitu vyote vyake
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo
Usisahau kumtumikia bado ungali hai
[Verse 6]
Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako
Iweje jema kwa baya watu umewatenda vipi
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu
Suluhisho pekee ni Mungu tumpe maisha yetu
[Verse 7]
Mwanga wangu wa njia na nyota katika maisha yangu
Ye ni Mungu wa nuru ushindi hata vitu vyote vyake
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo
Usisahau kumtumikia bado ungali hai
[Verse 8]
Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako
Iweje jema kwa baya watu umewatenda vipi
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu
Suluhisho pekee ni Mungu tumpe maisha yetu
[Chorus]
Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena ah
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha
Sina haki mimi kujisifu tena ah
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi
[Chorus]
Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena ah
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha
Sina haki mimi kujisifu tena ah
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi iih
[Outro]
Iih, iih, iih, iih, ih, ih
Iih, ih, ih, iih, iih, iih
Iih, iih, iih, iih, iih, iih
Iih, iih, iih, iih, iih
Written by: JAPHET ZABRON PHILIP, Marco Joseph Bukuru