Lyrics
[Verse 1]
Hatimaye ni leo
Ni siku yetu
Siku yetu muhimu
Harusi yetu
Uwepo wenu nyote eh eh
Kwetu ni kitu
Kwetu ninyi ni ndugu
Leo na kesho
[Verse 2]
Harusi maua, ng'aring'ari wanapendeza
Leo ni furaha shangwe na furaha
Harusi mauwa, tabasamu suti na shera
Wacha tufurahi sote tufurahi
[Chorus]
Sweetie sweetie sweetie
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My baby (Leo hii)
Nahapa tulipo
(Ndio siku yetu) Ipo
(Muhimu ya Harusi)
[Chorus]
Sweetie sweetie baby
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My love (Leo hii)
Nahapa tulipo
(Ndio siku yetu) Ipo
(Muhimu ya Harusi)
[Chorus]
Sasa nyumba moja, mwili mmoja, kila kitu ni moja tuwe pamoja
Upendo naongeza nawe ongeza
Heshima na pandisha, tuwe pamoja
[Chorus]
Sweetie sweetie sweetie
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My baby (Leo hii)
[Verse 3]
Sasa wewe ni mimi, mimi ni wewe
We ndo mwandani wangu rafiki yangu
Sasa wewe ni mimi, mimi ni wewe
We ndo mwandani wangu rafiki yangu
[Verse 4]
Na wazazi wameona wakaturuhusu
Kwa furaha wakasema eh "Tumewabariki"
Na Mwenyezi Mahulana atatubariki
Tukazae na tulee eh-eh
Watoto wazuri
[Chorus]
Sweetie sweetie sweetie
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My baby (Leo hii)
Nahapa tulipo
(Ndio siku yetu) Ipo
(Muhimu ya Harusi)
[Chorus]
Sweetie sweetie baby
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My love (Leo hii)
Nahapa tulipo
(Ndio siku yetu) Ipo
(Muhimu ya Harusi)
[Chorus]
Sasa nyumba moja, mwili mmoja, kila kitu ni moja tuwe pamoja
Upendo naongeza nawe ongeza
Heshima na pandisha, tuwe pamoja
[Chorus]
Sweetie sweetie sweetie
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My baby (Leo hii)
[Verse 5]
Yandoa mengi mengi tupande nayo
Sweetie nitakuheshimu, uniheshimu
Mahaba motomoto yawe ni wimbo
Kwetu yawe waridi yakanukie
[Verse 6]
Walikuepo, walitamani, nao wakafunga harusi
Wakaparangana haikuwezekana
Kama si nyinyi tusingefika hapa na ku furahi hivi
Na leo ni leo mambo sasa ni mambo
[Chorus]
Sweetie sweetie sweetie
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My baby (Leo hii)
Nahapa tulipo
(Ndio siku yetu) Ipo
(Muhimu ya Harusi)
[Chorus]
Sweetie sweetie baby
(Haikuwa rahisi) Eh sweetie
(Tufike) My love (Leo hii)
Nahapa tulipo
(Ndio siku yetu) Ipo
(Muhimu ya Harusi)
[Chorus]
Sasa nyumba moja, mwili mmoja, kila kitu ni moja tuwe pamoja
Upendo naongeza nawe ongeza
Heshima na pandisha, tuwe pamoja
[Verse 7]
Na tutakumbushana kukaa na Mungu
Familia ya Mungu hujaa upendo
Wema kwa ndugu wote wa pande zote
Tutapendwa na wote hata na Mungu
Written by: Japhet Zabron