Music Video

Solomon Mkubwa - Mfalme Wa Amani (Official Video)
Watch Solomon Mkubwa - Mfalme Wa Amani (Official Video) on YouTube

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Solomon Mkubwa
Solomon Mkubwa
Lead Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Solomon Mkubwa
Solomon Mkubwa
Songwriter

Lyrics

Daudi kasema, nilikuwa kijana sasa ni mzee
Daudi kasema, nilikuwa kijana sasa ni mzee
Sijawahi ona mwenye haki ameachwa mimi
Wala watoto wake kuombaomba mikate barabarani
Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake wanadamu
Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake si kama wanadamu
Akiongea Yesu ameongea
Akikuahidia kitu, Baba ameahidi na ujasiri
Atatenda kwa wakati wake, ninamwita Bwana wa amani
Ninamwita mfalme wa amani bwana
Ndio maana mimi ninaimba kwa sababu ya amani yake
Ni uwezo gani, uwezo gani unaompinga Yesu?
Uwezo gani? Uwezo gani? Uwezo gani?
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Usilie, usilie, usilie wewe
Usilie Bwana anakujua ndugu yangu
Amesikia kilio chako wewe mama
Unalia nini kwa wanadamu, mama yangu
Wanadamu hawatakusaidia na kitu
Wanadamu hawatakuwezesha kwa kitu chochote
Tunaye mmoja anayepanguza machozi ya watu wake
Ni yule mfalme wa amani
Ni yule aliyesema yote imekwisha
Mambo unayoyapitia ni yeye anayeyaona
Anajua shida yako mama yangu
Anajua magumu yako baba yangu
Ukiwa na shida usiende kwa waganga, wa dunia
Ukiwa na magumu usiende kwa wafumu wa dunia
Muite mfalme wa amani, yeye anajibu maombi
Muite mfalme wa amani, yeye anajibu maombi
Uwezo gani, uwezo gani unaompinga Baba?
Uwezo gani? Uwezo gani? Uwezo gani?
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, uinuliwe Bwana wangu
Yale unayotenda yashangaza dunia nzima
Wanaokosa amani ndani ya nyumba zao wape amani
Wanaokosa amani ndani ya kazi zao wape amani
Ni wewe Bwana wa amani ya kudumu
Ni wewe Bwana wa amani ya Afrika, Amerika wanalia amani
Tunawe Bwana mfalme wa amani
Tunawe Bwana mfalme wa amani
Hakuna kitu kile kinachokushinda Bwana
Yeye mfalme wa amani
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Written by: Copyright Control, Solomon Mkubwa
instagramSharePathic_arrow_out