Upcoming Concerts for Diamond Platnumz
Top Songs By Diamond Platnumz
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Diamond Platnumz
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Sheddy Clever
Producer
Tuddy Thomas
Producer
Lyrics
(Wasafi)
Sura yake mtaratibu
Mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribu
Ila namkumbuka sana
Umbo lake mahbibu
Kwenye maradhi alionitibu
Siri yangu, ukarimu
Bado namkumbuka sana
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali, darling
Akatekwa na wale
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah-aah
Nitampata wapi, kama yule?
Niliompendaga sana
Nitampata wapi, kama yule?
Nae anipende sana
Nitampata wapi, kama yule?
Niliompendaga sana
Nitampata wapi, kama yule?
Nae anipende sana
Aii, aii, nyota
Nyota ndio tatizo langu
Aii, nyota
Mpaka nalia pekee yangu
Aii, nyota
Nyota ndio shida yangu
Nyota
Wamenizidi wenzangu
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba ghali (ghali)
Mi kapuku hakunijali (jali)
Akanimbia, hm
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba ghali (ghali)
Mi mnyonge hakunijali (jali)
Akanikimbia
Alonifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali, darling
Akatekwa na wale (halo)
Alonifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah-aah
Nitampata wapi? (Oh, wapi?) Kama yule
Niliompendaga sana (nampenda sana)
Nitampata wapi kama yule (oh, sana)
Nae anipende sana
Nitampata wapi, kama yule? (Penda sana)
Niliompendaga sana (nampenda sana)
Nitampata wapi, kama yule? (Oh, sana)
Nae anipende sana
Bado ananijia ndotoni (bado)
Ila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia nikilala (bado)
Haki ya Mungu sio masihara
Bado ananijia ndotoni (bado)
Ila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia nikilala (bado)
Haki ya Mungu sio masihara
Yo' touch clever (bado)
Hii ni sauti ya raisi (bado)
Ilomshindaga ibilisi (bado)
Kwa mwanadamu sio rahisi, aha
Na mwambie (bado)
Lazma ujue kutofautisha
Kati ya msalaba na jumuilisha
Kuna X na kuzidisha
Ni cheche (cheche...)
Bado ananijia nkilala
Haki ya Mungu sio masihara
Writer(s): Naseeb Abdul Juma Issack
Lyrics powered by www.musixmatch.com