Music Video

Zuchu ft Diamond Platnumz - WaleWale (Official Lyric Audio)
Watch Zuchu ft Diamond Platnumz - WaleWale (Official Lyric Audio) on YouTube

Credits

PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Vocals
Zuchu
Zuchu
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Nasibu Abdul Juma Issaack
Nasibu Abdul Juma Issaack
Songwriter
Zuhura Othman Soud
Zuhura Othman Soud
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Trone
Trone
Producer

Lyrics

Sisi ndo wale wale, mlio tukataa Mkasema hatufiki mbali (na Simba lama) Sasa tumejipata (ni Zuchu chu-chu-chu) He-he-he (ay-ayo Trone) Ay wewe Trone, hee! Aya-ya-ya-ya, ulivyonipiga juju Ulidhani nitagwaya, hukujua nina Mungu Aya-ya-ya-ya, eti nile chuku-chuku Mambo yangu yako sawa Nishashiba kuku-kuku Hee!, chote ni choyo na sijali Ndio kina waumiza Na Mungu wangu (na Mungu wangu) Yu ngangari, cheza nami atawamaliza Karibu, ntanunua gari nakuja kwenu Itaneni muambizane mje mjae (mama Suma) Maisha yangu ya bei ghali kuliko yenu Mi ndo yule mlikatazwa msicheze nae Sisi ndo nani? Sisi ndo wale wale (sisi ndo wale wale) Mlio tukataa (mlio tukataa) Mkasema hatufiki mbali (jamani Mungu si athumani) Sasa tumejipata (aah hee) Sisi ndo wale wale (sisi ndo wa-wa-wa-wa) Mlio tukataa (mlio tukataa) Mkasema hatufiki mbali (jamani Mungu si athumani) Sasa tumejipata (ah!) Ooh, eti ntakufa (kwani we utaishi milele?) Nilipozitafuta (mbona mliniacha mwenyewe?) Hizo chuki na pupa oh (ndo zinofanya mchelewe) Oh, kwa kushinda kutwa (roho mbaya na viherehere) Aah, na mwaka huu mtaisaga rumba (eh kwanini?) Oh, maana nimemuomba Mungu mpaka nyumba (aah) Na mjiandae kwa sare za ndoa sio uchumba (eh waganga) Waganga wenu wambieni wakoleze ndumba Aah, oh binadamu ni wa ajaabu sana ('jaabu sana) Wana maneno ya kukatisha tamaa Binadamu ni wa ajaabu sana Wana matendo ya kuumiza sana Walisema eti nina nuksi ya senti (kapachuka) Nyota yangu ya boda ya kwao ya jeti (ooh) Nani wa kunidate (mmh), bega kama kenchi (ooh) Kudadeki zenu 'asa mbona mnakechi Oh, sisi ndo wale wale (sisi ndo wale wale) Sisi ndo wale wale Mlio tukataa (mlio tukataa) Mkasema hatufiki mbali (jamani Mungu si athumani) Sasa tumejipata (aah, hee) Sisi ndo wale wale (sisi ndo wa-wa-wa-wa) Mlio tukataa (mlio tukataa) Mkasema hatufiki mbali (jamani Mungu si athumani) Sasa tumejipata Kamix lizer
Writer(s): Nasibu Abdul Juma Issaack, Emmanuel Mkono, Mavogy, Aika Marealle Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out