Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Stamina Shorwebwenzi
Stamina Shorwebwenzi
Performer
COMPOSITION & LYRICS
BONVENTURE ELIUTER KABOGO
BONVENTURE ELIUTER KABOGO
Songwriter
PAUL THIMOS MWASILE
PAUL THIMOS MWASILE
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
PAUL THIMOS MWASILE
PAUL THIMOS MWASILE
Producer
Independent artist
Independent artist
Producer
TML
TML
Producer

Lyrics

INTRO
Am everything
Shorwebwenzi on this one
Verse1
Japo natokea street ila njaa hainigangi/
Nikivuta navuta hewa sio moshi wa bangi/
Kwenyemapene sasa toa macho kama mangi/
Yani fresh from church so waganga hawanichanji/
Mnao sifia wanachana wakichana siwaelewi/
Ata nikiwageuza pombe harafu nikawanywa na silewi/
Waambieni Watoto wa mama mi mjomba sichezewi/
Sema tu ni underrated ndio maana sifa sipewi/
nikiingia booth ujue ni bad meet evil/
Kwenye show ndio master meet shivo/
Na dimbani mosimane meet pitso
Faceface ndio usiseme ni shetani meet kristo/
Hebu tel me what you see unapoiona hii sura/
Kama humwoni Pac basi check hiyo medulla
It ain’t for free men nahitaji mulla/
Hao vichwa maji wenu ndio waacheni waitaji chura/
Chorus
Iam
Mmoja tu pekee hapa duniani/
Sina copy wala chawa yani one man army/
Iam
Mtanzania mwenye ndui begani/
Harafu moro town nimeibeba kichwani/ iam
Tanga iam
Shytown iam
Singida iam
A town iam
Mbeya city iam
Dom city iam
Dar es salaam iam
Verse2
Sibishani na Watoto wanakuwa mi narap wapo chekechea/
Naweka mziki kwenye map **** take care/
Eeh/
Kunikalia mi kitako ni sawa na kubembeleza imoji ya kulia kwenye smartphone/
Ujuzi kando leo narap benefit/
Nagenerate rap ka nina map ya genetics/
Naikisha hii sauti juu ya mdundo/
Mrefu msumari ndio kisa cha mfupi kuwa nyundo/
Popote penye speaker nasikika maradufu/
Hata nikilewa sifa huwa naikata na supu/
Piga beat zote dance ama kiduku/
Kama nikishindwa chana nitatasfiri ka rufufu/
Wasichojua/
Mi jogoo la shamba/
Bila hereni wala tatoo ni maplain ya manga/
Natunga stanza we mmasai tunga shanga/
Hapa zinadunda ata kwa ndumba za kila mganga/
Mtaani kwetu wananita funga dimba/
Maaan nishalala na njaa mpaka nikaipa mimba/
Chorus
Iam
Mmoja tu pekee hapa duniani/
Sina copy wala chawa yani one man army/
Iam
Mtanzania mwenye ndui begani/
Harafu moro town nimeibeba kichwani/ iam
Mchaga iam/
Muhaya iam/
Mdigo iam/
Mnyamwezi iam/
Msukuma iam/
Mnyakyusa/
Mzaramo iam/
Verse 3
Eeh!
Na Sio masika tu/
Nitawatesa mpaka vuli/
Niite papa misifa nae watesa kama dully/
Matozi wana vibegi bila nauli/
Mwite wakala wa pesa maana nataka kutoa ushauri/
Na nikichana hawaponi mafala/
Nishawamwaga chini misiri ya mwaloni sangara/
Mi mzalendo/
Mzee wa maoni wa maoni kinana/
Na sio ganja tu navuta mpaka oni sigara/
Mziki nautoboa ka nina pini/
Mademu wa sikuhizi dangerous kwa hiyo ukiwa mzinzi kuwa makini/
Kuukataa mziki kuwa na mimi ni sawa kufanya kazi ya kuimba mapambio msikitini/
Na napopenda beef utasema mchini wa noma/
Kama ngono sio mchizi basi mchizi wa ngoma/
We mchizi wa dona
Mchizi kapona/
Ata moksi ni mchizi ila moni ndo mchizi wa roma/
Chorus
Iam
Mmoja tu pekee hapa duniani/
Sina copy wala chawa yani one man army/
Iam
Mtanzania mwenye ndui begani/
Harafu moro town nimeibeba kichwani/ iam
Solothang iam
Ngwea iam
Chidibenz iam
Fa iam
Jay mo iam
Professor iam
Outro
Mmoja tu pekee hapa duniani/
Sina copy wala chawa yani one man army/
Mtanzania mwenye ndui begani/
Harafu moro town nimeibeba kichwani/
Iam
iam
Written by: BONVENTURE ELIUTER KABOGO, PAUL THIMOS MWASILE
instagramSharePathic_arrow_out