Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Platform
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Platform
Songwriter
Kapipo
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Kapipo
Producer
Lyrics
[Verse 1]
Mwenye kisura cha upole
Rangi yake ya chocolee
Uzuri kampa mama, ooh mama
Cheko lake kama vaileth
Kisura chake yani babay face
Ananichanganya, anichanganyaa
Mwenzenu nimezunguka sijamuona kama yeye
Na ata ukizunguka uwezi mpataa kama yeye
Jamani nimezunguka sijamuona kama yeye
Na ata ukizunguka uwezi mpata kama yeye
[Chorus]
Mi nina wivu, ooh wivu
My baby nina wivu, ooh wivu
Kusema kweli mi Nina wivu, ooh wivu
Ooh baby mi nina wivu (Ooh mi nna wivu)
Oh wivu (Ooh mi nna wivu)
Kusema kweli mi nina wivu
[Verse 2]
Ushaniweza jamani kama ni dozi unanipatia
Unafanya wakeshe ooh wakeshe macho wazi
Oh mambo yako wazi, wazi-wazi
Tuweke wazi kwawazazi
Milele tuishi wote mimi nawe my darling
Mwenzenu nimezunguka sijamuona kama yeye
Na ata ukizunguka uwezi mpataa kama yeye
Jamani nimezunguka sijamuona kama yeye
Na ata ukizunguka uwezi mpata kama yeye
[Chorus]
Mi nina wivu, ooh wivu
My baby nina wivu, ooh wivu
Kusema kweli mi nina wivu
Ooh baby, oh wivu (Mi nna wivu)
Ooh baby mi nina wivu (Ooh mi nna wivu)
Oh wivu (Ooh mi nna wivu)
Kusema kweli mi nina wivu
Written by: Kapipo, Platform