Top Songs By Exray Taniua
Credits
PERFORMING ARTISTS
Exray Taniua
Performer
NDOVU KUU
Performer
Mejja
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Tony Kinyanjui
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Sadafa
Producer
Lyrics
Many people can Come Na bado wengi wata go
Adi wale upenda tam tam wenye madoh (pesa)
Ni Sabuni ya roho mwambie nafwata Goals)
Ule wa roho mwambie napenda raw
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Stop planing,Throw money
Spend money make money
Ni ciubani
Ukiboeka Kuja areatulie ndani
Signal imeishika kama Ariel Tuko mbali (Hallo)
Aki mary Mary mary go round
Uski bado niko nyuma still na skunk
Adi akili imehang nilikuwa still kwa plan
Tell me watgwaan Niko juu ya miraa (hallo)
Non stop Inaenda sana bangkok
Kaa umechoka kuniona unaeza change angle
Uncle utanipemda by force
We unaona Niki grind walai unathani ni jokes
Many people can Come Na bado wengi wata go
Adi wale upenda tam tam wenye madoh(pesa)
Ni Sabuni ya roho mwambie nafwata Goals)
Ule wa roho mwambie napenda raw
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Mi nataka Hawa na wale
Na pia kale
Na ulete beer sponyo hakatagii makali
Sidechick ni vale
Ni WA kitale
Tulijengana saii anaishi geti kali
Future nyi Bado muko last year
Na Ndovu ni Kuu na Ivo Bado ndo mi naskia ti
Pesa ni mingi ka ujinga ya salasya
Buroti maguta andũ a nyũmba kuhana atĩa
Mi Mi Mi uwabadilisha kama dicla
Lazma nfiche white si machupa ni za kibla
Kuchimba sijawai labda Dem Yako a reply
Hehehe iyo imekupita kama housefly,Aki Walae
Many people can Come Na bado wengi wata go
Adi wale upenda tam tam wenye madoh (pesa)
Ni Sabuni ya roho mwambie nafwata Goals)
Ule wa roho mwambie napenda raw
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Nilimshow minaumwa na kichwa
Akaniambia (niko na dawa ya kichwa)
Akafunga pony tail,akacheza na lips
Nikaacha kuumwa na kichwa
Uyo manzi ako na skills,ako ndethe na hills
She is a freak for real,very nice
Nikama aninandai,ameacha ngotha kwangu
Kana mark teritory,(ah) ata earings
Nimepata ndani ya gari
Kana mark teritorry ah) very nice
Chali yake mina slice
Many people can Come Na bado wengi wata go
Adi wale upenda tam am wenye madoh(pesa)
Ni Sabuni ya roho mwambie nafwata Goals)
Ule wa roho mwambie napenda raw
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Hapa na pale hapa na pale hapa na pale
Tukijibambez
Written by: Tony Kinyanjui