Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
MABANTU
MABANTU
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Twarha Kanengo
Twarha Kanengo
Songwriter
Mwarami kajonje
Mwarami kajonje
Songwriter
Omary Mwanga
Omary Mwanga
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Gachi B
Gachi B
Producer

Lyrics

Leoooo Mungu ameniona ameniona
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Jaza table gonga glass leo mambo yote mneso (amina)
Mungu amekata minyororo ya mateso (amina)
Mvua jua vilitupiga na hatukua na leso (amina)
Ila tuliishi kwa imani tukiamini kesho (amina)
Ukiona yanazidi sana majaribu basi ku succeed kukaribu
Nilianguka nikainuka tena nikajaribu
Nikasema ipo siku mungu atanijibu
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Shiiii!!! Nilikua single ila leo niko na bebe (amina)
Nilishalizwaga sana mpaka chozi nikajaza debe (amina)
Tena nabembelezwa nadekezwa dede (amina)
Hatimae leo tumewakata ngebe (amina)
Wakiletaleta mapepo (fire)
Wakitaka tuachane (fire)
Vinenoneno vya chuki
Tukiachana mutuite mbwa tumekaa pale
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Yow!! Leo natumia coz jana niliseto (amina)
Ile kupanda kushuka leo nami ninageto (amina)
Dharhau masimango tulishinda mateso (amina)
Tuishi kwa imani na tuamini kesho (amina)
God when say yes nobody can say no
Can say no
Mungu akisema inawezekana nani wakupinga wakupinga? Wakupinga
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Leoooo Mungu ameniona ameniona
Written by: Mwarami kajonje, Omary Mwanga, Twarha Kanengo
instagramSharePathic_arrow_out