Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Jovial
Jovial
Remixer
COMPOSITION & LYRICS
Juliet Miriam Ayub
Juliet Miriam Ayub
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Vicky Pon Dis
Vicky Pon Dis
Producer
Alexis on the Beat
Alexis on the Beat
Producer
Teknix
Teknix
Producer

Lyrics

Pita Nawe, Pita Nawe
Wananiita komesha roho wakijigonga
Nawapa sabuni ya roho wanapokoga
Wanakata sana pake wamedata
Mbali nami hawasogei wakishapata
Basi sogea nikuelezee
Mi mwenzako ni hoi
Yule wa kwako we mpoteze ei
Kwangu mi hatoboi
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Pita pita pita
 
Akisleki mi napita nawe
Songa nikudatishe
Songa mi nikulishe lishe
Njoo nikupagawishe
Wengine uwapishe pishe
Penzi lake pamba
Upande wa kitanda
Wangu bado mshamba
Hajui kutamba
Ipi tui me nikupe mate eeh
Uitafune
Kwako nimejipa
Sina ujinga mi
Beiiby
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Akisleki mi na pita nawe
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah
Written by: Juliet Miriam Ayub
instagramSharePathic_arrow_out