Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Willy Paul
Performer
Alikiba
Performer
Ommy Dimpoz
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Wilson Ouma
Songwriter
Lyrics
Oooooh,deka kifuani mwangu
Oooooh
Poze, poze (Tedy B)
Uh baby, nimekupenda kwa ndani
Nikupeleke Mombasa kwa Joho
Tukakule na raha mamaaa
Michezo ya zigizigi ya kiwillywilly mamaaa
Utapenda cherie ooh! nitavyojikaza
Nikaribie nikueleze, navyohisi moyoni mwangu bebe
Baby ukinitouch, me napigwa na butwaa
Tukigombana, me napatwa na huzunii
Ukiniacha mie, nitaumia moyonii
Njoo nikugawie, nikugurumishe
Uuuh beibee! nikugawie,nikugurumishe (uuh)
Basi mie,nikumbatie nishikilie (ah)
Deka kifuani mwangu
Nikumbatie nishikilie ee
Lala kifuani mwangu
Nikumbatie nishikilie (nikumbatie eee)
Deka kifuani mwangu nikumbatie nishikilie eee... lala kifuani mwangu
Kama moyo ungekuwa,kitabuuu
Ningekupa usome ee
Ooh! Kama moyo ungekuwa,kitabuuu
Ningekupa usomeee
Basi unipe majigijigi majigijigi
Twende wote mamaa
Michezo ya zigizigi ya kiwilly willy
Twende wote mamaa
Aleh unipe majigijigi majigijigi
Twende wote mamaa
Michezo ya zigizigi ya kiwilly willy
Twende wote mama
Basi mie nikumbatie,nishikilie (ah)
Deka kifuani mwangu
Nikumbatie,nishikilie ee
Lala kifuani mwangu
Nikumbatie (nikumbatie yeah) nishikilie
Deka kifuani mwangu
Nikumbatie,nishikilie ee
Jinsi ulivyo madoido lolo
Ni mwendo uleule eh
Na jinsi navyopenda ulivyoo
Ni mwendo uleule eh
Mh ma darling walolileeee yeh yeh yeh
Unanikosha roho oo
Ni mwendo wa madoido oh
My lover, my honey ooh
My baby, my sweet potato
My honey oh, my honey eh
Ni mwendo wa madoido ooh
Ma ah!!
My one and only lile lile ee
My sweet ooh ooooh nikumbatie eh
Lala kifuani mwangu wooouuuooh
Mwendo wa kinyongaaaaa woouuuoh
Ayahyahyah... uh baby
Ali oooh, Ali yoyo(ye baba,wallah tena,eyo)
Willy poze, poze
Dimpoz pozi kwa pozey
Poz kwa mapozi
Nikumbatie, nishikilie kifuani mwangu uuuh ll
Writer(s): Ali Saleh Kiba, Ommy Dimpoz, Willy Paul
Lyrics powered by www.musixmatch.com