Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Obby Alpha
Obby Alpha
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Obby Alpha
Obby Alpha
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mixing Doctor
Mixing Doctor
Producer

Lyrics

[PreChorus]
Siwezi pigana na we nanyosha mikono juu basi pigana na Mungu
Siwezi shindana na we nanyoosha mikono juu basi shindana na Mungu
[Chorus]
Ooh shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
[Chorus]
Ooh shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
[Verse 1]
Hata kama vita ntapigana ila ushindi atanishindia aah
Yote si mapenzi yangu, bali ni mapenzi yake Mungu
Ukitamka laana yeye baraka kanitamkia aah
Yote si mapenzi yangu, bali ni mapenzi yake Mungu
[Verse 2]
Maana uhai wangu mie, nimemkabidhi yeye
Ukitaka kunigusa mie, unataka kumgusa yehe
Ukinigusa kwa wema atakubariki atakubariki
Ila ukitaka kwa mabaya usishiriki maana sio rahisi
[Bridge]
Maana vita yangu eeh, si ya mwili bali ni ya rohoni
Tena sipigani mimi eeh, anaenipigania Mwokozi hivyoo
[PreChorus]
Siwezi pigana na we nanyosha mikono juu basi pigana na Mungu
Siwezi shindana na we nanyoosha mikono juu basi shindana na Mungu
[Chorus]
Ooh shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
[Chorus]
Ooh shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
[Verse 3]
Ukipigana na mimi nikuachie Mungu basi jua yako imeenda
Ukipigana na Mini nikuachie Mungu basi jua yako imeenda
Ameniita ni Mungu mwenyewe, mbona nipigane vitaa
Ameniita ni Mungu mwenyewe, mbona nipigane vitaa
[Verse 4]
Maana vita vyangu, si vya mwili bali ni vya rohoni
And I dont fight for myself, anayenipigania Mwokozi
[Verse 5]
Hivyo basi anayepigana sipigani nae, namuachia Mungu apambane naye
Anayeshindana sishindani naye, namuachia Mungu apambane naye
Anayeniwinda sipigani naye, namuachia Mungu apambane naye
Namuachia Mungu apambane naye
[Bridge]
Maana vita yangu eeh, si ya mwili bali ni ya rohoni
Tena sipigani mimi eeh, anaenipigania Mwokozi hivyo
[PreChorus]
Siwezi pigana na we nanyosha mikono juu basi pigana na Mungu
Siwezi shindana na we nanyoosha mikono juu basi shindana na Mungu
[Chorus]
Ooh shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
[Chorus]
Ooh shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)
Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)
Written by: Obby Alpha
instagramSharePathic_arrow_out