Top Songs By Barnaba
Similar Songs
Lyrics
[Verse 1]
Ooh, ooh, ooh
Shida iko moja bado nampenda
Kumuacha sidhani ntaweza
Chapisheni magazeti gari limefunga break kwake
Kama ni mechi nampatia urefa
Mechi zote kwake nishacheza
Silishwi wali mbichi nalishwa mpaka ndichi
[PreChorus]
Vizito abebe punda, si kubebeshana huwaga si rahisi
Goli la mahaba twachunga, hawakosekani mafisi
Mashallah huba wangulimenikolea
Siambiwi siskii penzi lake pome nimelewa
Kopa letu kubwa, jamani limetoshelea
Hakuna space ya kuchiti, space ya usaliti
[Chorus]
Ukituona wawili tumedumu ujue basi (Nampenda)
Mishale ni mingi haikuwa rahisi (Nampenda)
Nishawahi kumwacha, ashawahi kuniacha ila (Ananipenda)
Na tukirudiana penzi kama jipya (Ananipenda)
[Verse 2]
Naa aah-aah
Kazi kutukana mitandaoni na mabando ya kukopa
Kujifanya na mnatujua kuliko waliotuzaa na tulikotokaa
Ooh Mopao akaoa Mohamed, kisa mapenzi (Kabadili dini)
Kipi cha kushangaza maisha yetu (Yawahusu nini)
[Verse 3]
Kama Mungu tunayemwabudu, sote ni mmoja
Iwe pepo iwe motori sote njia yetu ni moja
Wallahi maneno yao yangekuwa mimba
Tayari matumbo yangevimba bibi
Kumridhisha mwanadam kazi mpenzi
[PreChorus]
Vizito abebe punda si kubebeshana huwaga si rahisi
Goli la mahaba twachunga hawakosekani mafisi
Mashallah huba ungwana limenikolea
Siambiwi siskii penzi lake pombe nimelewa
Kopa letu kubwa, jamani limetoshelea
Hakuna space ya kuchiti, space ya usaliti
[Chorus]
Ukituona wawili tumedumu ujue basi (Nampenda)
Mishale ni mingi haikuwa rahisi (Nampenda)
Nishawahi kumwacha, ashawahi kuniacha ila (Ananipenda)
Na tukirudiana penzi kama jipya (Ananipenda)
Written by: Pyers De Barna