Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Ay Masta
Ay Masta
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Ambwene Allen Yessayah
Ambwene Allen Yessayah
Composer

Lyrics

[Verse 1]
Picha linaanza nishadata
Picha linaanza nishawaka
Picha linaanza nishachanganyikiwa
Picha linaanza nishadaata
Ooh na-na
[Chorus]
Kweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomwangalia, akinipatia, nami sitamuacha
Kwa nyuma ananipa mineso
Moyoni ananipa mateso
Wa kishua ila mateendo ya Ghetto
Mtamu na hapendi vya dezo
Nakulaa kwa macho
5 Star Gurl si mchezo
Ebu oona, ebu oonaa
[Chorus]
Kweli mie, amenikamata
Kwa jinsi navyomwangalia, akinipatia, nami sitamuacha
[Verse 2]
Na rangi flani ya kimanga
Lugha lafudhi ya kitanga
Usione akapita na khanga
Nyuma figisu majanga
[Verse 3]
Ana mwendo wa kungonya tena alivyoshona
Umbo kama katuini wa kuchora
Ah Singida Dodoma, kitandani sodoma
Kiuno kama nyuki Dondora
[Verse 4]
Maneno ya watu sumu yana hila
Wasije leta urefarii ka mpira
Chunga katu usije ukan′zira
Nikashikwa na uchizi yaani utaahira
[Verse 5]
Mtoto yaani mukidi mukide
Mpaka ndani shikidi shikide
Hasa akilick D lick De
Ye ndo mama Chibu D Chibu Dee
[Chorus]
Kweli mie, amenikamata
Kwa jinsi navyomwangalia, akinipatia, nami sitamuacha
[Refrain]
Too sexy, too sexy (Ya man)
Bushee Bushee (Di ya man)
Mungu ameumba hapa (Yah man)
Natamani nikaseme nae (Yah man)
Too sexy, too sexy (Ya man)
Bushee Bushee (Di Ya man)
Mungu ameumba hapa (Yah man)
Natamani nikaseme nae (Yah man)
[Verse 6]
Naamini amezaliwa ili mimi ni-we naaye eh
Mpaka sasa nimechanganyikiwa mpaka yeye awe na-mi eh
Mtoto yaani mukidi mukide
Mpaka ndani shikidi shikide
Hasa akilick D lick De
Ye ndo mama Chibu D Chibu Dee
[Verse 7]
Naamini amezaliwa eh ili mimi ni-we naaye eh
Mpaka sasa nimechanganyikiwa mpaka yeye awe na-mi eh
Iwe iwe iwe
Iwe iwe hii ndoto
Mtamu mpaka utamu umepitiliza
Akikaa na wengine wana-chukiza
[Verse 8]
She can lick D (Yah man)
Ngoja niongeze bidii (Yah man)
Ukute hili zali langu (Yah man)
Nikapige masinemaree (Yah man)
[Verse 9]
Nakula kwa macho (Kwa macho)
Nakula kwa macho (Kwa macho)
Nakula kwa macho (Kwa macho)
Kweli mie, amenikamata
Kwa jinsi navyomwangalia, akinipatia nami sitamuacha
Written by: Ambwene Allen Yessayah
instagramSharePathic_arrow_out