Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Christina Shusho
Christina Shusho
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Christina Shusho
Christina Shusho
Composer

Lyrics

[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
[Verse 1]
Neema ni upendeleo, sikustahili
Nilikua mfungwa, nimewekwa huru
Amenipa uzima, wakati nilistahili kifo
Amenifanya mwana, niliyekuwa mfungwa
[Verse 2]
Wokovu nilio nao ni kwa neema tu
Alijitoa Yesu, aniokoe
Aliacha enzi, na utukufu mbinguni
Kaniona mdhambi, kaniokoa ni kwa neema
[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
[Verse 3]
Uhai nilio nao, ni kwa neema tu
Elimu ulio nayo, ni kwa neema tu
Heshima uliyo nayo, ni kwa neema ndugu yangu
Cheo ulicho nacho, ni kwa neema tu
Mali ulizo nazo, ujue ni kwa neema tu
Huduma niliyo nayo, najua ni kwa neema tu
Ningetakiwa cheti, ningetoa wapi mie?
Ila neema yake Mungu wangu ukaniona, ni kwa neema
[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
[Bridge]
Hallo-hallo, hallo-hallo
Hallo-hallo, hallo-hallo
Hallo-hallo, hallo-hallo
Hallo-hallo, hallo-hallo
[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
[Chorus]
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Ni kwa neema tu, ni kwa neema tu
Written by: Christina Shusho
instagramSharePathic_arrow_out